SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI BINAFSI ZA ELIMU-KAPINGA
📌 Alipongeza Kanisa Katoliki kwa utoaji wa huduma za kijamii
📌 Aasa Wanafunzi kuwa Waaminifu na Waadilifu
Ruvuma
NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesemaSerikali itaendelea kuwaunga...
MTIANIA URAIS IFM AITAKA SERIKALI KUTOINGIZA SIASA VYUONI
Dar es Salaam
MTIANIA wa nafasi ya Urais wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Barnabas Samwel amesema kumekuwa...
MAGANYA AKUTANA NA MACHIFU WA MKOA WA MARA NA KUZUNGUMZA NAO
Na Shomari Binda-Musoma
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Fadhili Maganya amekutana na machifu wa mkoa wa Mara na kuzungumza nao.
Katika mazungumzo hayo machifu kupitia...
JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 14 WILAYANI MASWA
Na Shomari Binda-Maswa
MAHAKAMA ya Hakimu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemtia hatiani mshitakiwa Beatus Manon mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa Kijiji...
MATUMIZI YA KIDIGITILI MASHULENI KWENDA KURAHISISHA UFUNDISHAJI
Na Magrethy Katengu- Dar es salaam
SEKTA ya Elimu inatakiwa kuja na mikakati mizuri ya Tehama ili kusaidia weledi wa ufundishaji kwa kuangalia mabadiliko...
MBIVU NA MBICHI KUFAHAMIKA KESHO JE TAMISEMI ITAENDELEA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Magrethy Katengu, Dar es salaam
WANANCHI watatu ambao Raia wa Kitanzania wamefungua kesi Mahakama Kuu Masijala ya Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mwanasheria...
TAKUKURU MARA YAWATAHADHARISHA WATAKAOENDELEA NA VITENDO VYA RUSHWA
Na Shomari Binda, Musoma
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mara imesema itaendelea kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kujihusisha na vitendo...
TANZANIA MIONGONI MWA NCHI VINARA WAZALISHAJI MADINI YA KINYWE DUNIANI
TANZANIA MIONGONI MWA NCHI VINARA WAZALISHAJI MADINI YA KINYWE DUNIANI
Imeshika nafasi ya Kumi kwa uzalishaji wa Kinywe Duniani
Unamilikiwa na Mtanzania kwa asilimia 100
Na Mwandishi...
MADIWANI MAGU WATAKA JIMBO LAO KUGAWANYWA
Na Mwandishi wetu, Magu
BARAZA la Madiwani wilayani Magu Mkoani Mwanza limekubaliana kugawa Jimbo la Magu kuwa Majimbo mawili kutokana na ukubwa wake wa kijografia...
TANZANIA NA CZECH MBIONI KUONDOA UTOZAJI WA KODI MARA MBILI
Na Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam
SERIKALI ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Czech zimekamilisha majadiliano ya Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi Mara...