SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI BINAFSI ZA ELIMU-KAPINGA

📌 Alipongeza Kanisa Katoliki kwa utoaji wa huduma za kijamii 📌 Aasa Wanafunzi kuwa Waaminifu na Waadilifu Ruvuma NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesemaSerikali itaendelea kuwaunga...

MTIANIA URAIS IFM AITAKA SERIKALI KUTOINGIZA SIASA VYUONI

Dar es Salaam MTIANIA wa nafasi ya Urais wa Serikali ya wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Barnabas Samwel amesema kumekuwa...

MAGANYA AKUTANA NA MACHIFU WA MKOA WA MARA NA KUZUNGUMZA NAO

Na Shomari Binda-Musoma MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Fadhili Maganya amekutana na machifu wa mkoa wa Mara na kuzungumza nao. Katika mazungumzo hayo machifu kupitia...

JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 14 WILAYANI MASWA

Na Shomari Binda-Maswa MAHAKAMA ya Hakimu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemtia hatiani mshitakiwa Beatus Manon mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa Kijiji...

MATUMIZI YA KIDIGITILI MASHULENI KWENDA KURAHISISHA UFUNDISHAJI

Na Magrethy Katengu- Dar es salaam SEKTA ya Elimu inatakiwa kuja na mikakati mizuri ya Tehama ili kusaidia weledi wa ufundishaji kwa kuangalia mabadiliko...

MBIVU NA MBICHI KUFAHAMIKA KESHO JE TAMISEMI ITAENDELEA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Magrethy Katengu, Dar es salaam WANANCHI watatu ambao Raia wa Kitanzania wamefungua kesi Mahakama Kuu Masijala ya Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mwanasheria...

TAKUKURU MARA YAWATAHADHARISHA WATAKAOENDELEA NA VITENDO VYA RUSHWA

Na Shomari Binda, Musoma TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mara imesema itaendelea kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kujihusisha na vitendo...

TANZANIA MIONGONI MWA NCHI VINARA WAZALISHAJI MADINI YA KINYWE DUNIANI

TANZANIA MIONGONI MWA NCHI VINARA WAZALISHAJI MADINI YA KINYWE DUNIANI Imeshika nafasi ya Kumi kwa uzalishaji wa Kinywe Duniani Unamilikiwa na Mtanzania kwa asilimia 100 Na Mwandishi...

MADIWANI MAGU WATAKA JIMBO LAO KUGAWANYWA

Na Mwandishi wetu, Magu BARAZA la Madiwani wilayani Magu Mkoani Mwanza limekubaliana kugawa Jimbo la Magu kuwa Majimbo mawili kutokana na ukubwa wake wa kijografia...

TANZANIA NA CZECH MBIONI KUONDOA UTOZAJI WA KODI MARA MBILI

Na Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam SERIKALI ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Czech zimekamilisha majadiliano ya Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi Mara...