NIMERIDHISHWA NA MAANDALIZI KUELEKEA KUWASHWA KWA MWENGE WA UHURU – MAJALIWA

Pwani WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua za maandalizi kuelekea sherehe za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru ambao utazunguka katika Mikoa 31 na...

WATU SABA WAFARIKI, 75 MAJERUHIWA SAME

Same WATU saba wamefariki dunia na wengine 75 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea wilayani Same. Ajali ya kwanza ilitokea majira ya saa saba usiku wa...

TANESCO YAANZA KAMPENI YA KUELIMISHA ELIMU YA USALAMA KWENYE MATUMIZI YA UMEME MIKOA YA...

๐Ÿ“ŒKampeni inalenga kuelimisha watoto kuzingatia usalama kwanza watumiapo umeme. ๐Ÿ“ŒItasaidia Kupunguza athari na ajali zitokanazo na majanga ya umeme kwenye Mikoa hiyo. Na Mwandishi wetu SHIRIKA...

SERIKALI YAAGIZA MAGEREZA KUPEWA RUZUKU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

๐Ÿ“Œ Dk. Biteko atoa mabati 300 ujenzi wa darasa Chuo cha Mafunzo ๐Ÿ“Œ Magereza yapongezwa kutumia Nishati Safi ya Kupikia ๐Ÿ“Œ Dk. Samia apongezwa kwa kuimarisha...

MAJALIWA: SERIKALI INATOA FEDHA, SIMAMIENI MANUNUZI YA DAWA

Kilimanjaro WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya wasimamie vema fedha za ununuzi wa dawa zinazotolewa na Serikali na kuhakikisha...

MOI YAANDIKA HISTORIA KWA KUANZA KUFANYA UPASUAJI WA UBONGO KWA KUTUMIA AKILI UNDE.

Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza rasmi upasuaji wa ubongo kwa kutumia teknolojia ya akili unde 'Brain...

GST YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI

Mafanikio ya Miaka Minne ya Serikali ya Awamu ya Sita 2021-2025 Dodoma KATIKA kipindi cha miaka minne cha Serikali ya Awamu ya Sita, Taasisi...

DCEA YAMENASA KINARA WA MIRUNGI, YATEKETEZA EKARI 285.5 SAME

Kilimanjaro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanya operesheni maalum wilayani Same, mkoani...

RAIS DK. SAMIA ANATAMBUA CHANGAMOTO ZA WENYE MAHITAJI MAALUM-MAJALIWA

Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 24, 2025 ameshiriki futari na watoto wenye mahitaji maalum wa shule ya msingi Buigiri iliyopo Chamwino Mkoani...

WIZARA YA NISHATI YATAJA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA MWAKA 2025/2026

๐Ÿ“Œ Rukwa, Kagera, Lindi. Mtwara kuunganishwa na gridi ya Taifa. ๐Ÿ“Œ Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kuendelea kuhamasishwa ๐Ÿ“Œ Serikali kuendelea kuimarisha utendaji wa Taasisi,...