GST YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI

Mafanikio ya Miaka Minne ya Serikali ya Awamu ya Sita 2021-2025 Dodoma KATIKA kipindi cha miaka minne cha Serikali ya Awamu ya Sita, Taasisi...

DCEA YAMENASA KINARA WA MIRUNGI, YATEKETEZA EKARI 285.5 SAME

Kilimanjaro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanya operesheni maalum wilayani Same, mkoani...

RAIS DK. SAMIA ANATAMBUA CHANGAMOTO ZA WENYE MAHITAJI MAALUM-MAJALIWA

Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 24, 2025 ameshiriki futari na watoto wenye mahitaji maalum wa shule ya msingi Buigiri iliyopo Chamwino Mkoani...

WIZARA YA NISHATI YATAJA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA MWAKA 2025/2026

📌 Rukwa, Kagera, Lindi. Mtwara kuunganishwa na gridi ya Taifa. 📌 Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kuendelea kuhamasishwa 📌 Serikali kuendelea kuimarisha utendaji wa Taasisi,...

WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA -MAJALIWA

▪️Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi ▪️Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi Njombe WAZIRI MKuuKassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini...

TUWAPENDE, TUWAJALI NA TUWATUNZE WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM – MAJALIWA

▪️Asema kwa kufanya hivyo kutawasaidia kutimiza ndoto zao ▪️Asisitiza Serikali itaendelea kufanya uwekezaji kwenye sekta ya elimu Njombe WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wanafunzi...

BARAZA LA SABA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA DODOMA

📌 Dk. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati. 📌 Baraza lapitisha rasimu ya bajeti ya 2025/2026 . 📌 Hoja za TUGHE zajadiliwa kwa...

SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA SEKTA YA MISITU

Na Happiness Shayo - Njombe WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kushirikiana na...

MAJALIWA AAGIZA UONGEZAJI THAMANI MAZAO YA MISITU UFANYIKE NCHINI 

▪️Asema Tanzania inayo teknolojia ya uchakataji mazao ya misitu. ▪️Aisistiza Wizara  kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji wa mazao ya misitu. Njombe WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa...

UFUNDI STADI UMEPEWA KIPAUMBELE NA SERIKALI – DK. BITEKO

📌 Asisitiza kuwa, Rais Samia anajenga vyuo kila wilaya nchini 📌 Apongeza utoaji wa mafunzo na ujuzi kuendana na teknolojia ya kisasa 📌 Makundi maalumu kupewa...