TANZANIA YATETA NA UONGOZI WA IDARA YA SERA ZA KIBAJETI – IMF-FAD

Na Joseph Mahumi, Washington. WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba ameongoza Ujumbe wa Tanzania ulipokutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Idara ya Sera ya...

TANZANIA YASISITIZA UHURU WA BIASHARA NA USALAMA WA NCH.

Na Mwandishi wetu, Nairobi KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Hashil Abdallah amesema Tanzania inaunga mkono harakati za kuwezesha usafirishaji wa...

MABINTI WA KATA YA KITUNDA WAJIFUNZA UJASIRIAMALI.

Na Mwandishi wetu,@Lajiji Digital MWAKILISHI wa Afisa Maendeleo Mkoa wa Dar es Salaam,Masalida Njashi amewatoa hofu mabinti wa Kata ya Kitunda Wilaya ya Ilala...

MELI YADONDOSHA DARAJA NCHINI MAREKANI.

Washington DC. WATU wapatao 20 wanahofiwa kuwa ndani ya maji baada ya daraja la Francis Scott lililopo Baltimore Nchini Marekani kukatika vipandevipande leo March...

UBOMOAJI NYUMBA MSIMBAZI BONDENI KUANZA RASMI APRILI 12, 2024

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam ZOEZI la ubomoaji wa nyumba zilizofidiwa na Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Msimbazi linatarajiwa kuanza rasmi Aprili...

TANZANIA NA KENYA ZA KUBALIANA KUONDOA VIKWAZO VYA BIASHARA

Na Mwandishi wetu,  Kenya Tanzania na Kenya zimekubaliana na kutia saini makubaliano ya kuondoa vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru ili kuruhusu raia kutoka nchi...

HAMAS WAVAMIA TENA HOSPITALI YA AL-SHIFA-JESHI LA ISRAEL.

Na Mwandishi wetu MIEZI minne baada ya wanajeshi wa Israel kuvamia hospitali kubwa zaidi ya Gaza, al-Shifa, wakidai kuwa ni kificho cha kamandi ya...

WATANZANIA WANAJIVUNIA MIAKA 3 YA UWEZO MKUBWA; NCHIMBI

Na Mwandishi wetu, Zimbabwe KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa Watanzania wote kwa ujumla wao wanajivunia...

RAIS MNANGAGWA AZIHIMIZA MATAIFA YANAYOZALISHA ALMASI AFRIKA KUONGEZA THAMANI MADINI YAO

*Lugha ya Kiswahili yatumika katika Mkutano kwa mara ya kwanza Victoria Falls, Zimbabwe. RAIS wa Jamhuri ya Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amehimiza Mataifa yanayozalisha Almasi Barani Afrika...