MATAIFA MADOGO YAUNGWE MKONO KIUCHUMI-MAJALIWA
*Apigia chapuo hifadhi ya mazingira, upatikanaji wa fedha na uhamishaji wa teknolojia
Marekani
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Umoja wa Mataifa hauna budi kuyaunga mkono...
WAZIRI MKUU ASHIRIKI MKUTANO WA ‘SUMMIT OF THE FUTURE’.
Marekani
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 22, 2024 akishiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa ngazi ya juu wa Wakuu wa Nchi na Serikali...
KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA, MAJALIWA WATETA
Aipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa amani Barani Afrika
Marekani
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Gutierres kwenye...
WAZIRI MKUU AWASILI NCHINI MAREKANI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania Mjini New York, nchini Marekani na Mwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Hussein...
KATIBU MKUU WIZARA KILIMO ASHIRIKI MKUTANO WA 138 WA BARAZA LA KAHAWA DUNIANI
Uingereza
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli ameshiriki katika Mkutano wa 138 wa Baraza la Kahawa Duniani (International Coffee Council) unaofanyika...
DK. TULIA ASISITIZA UMUHIMU WA USALAMA DUNIANI NA MAENDELEO YA PAMOJA
Italia
RAIS wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amesema kuwa upo...
RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA N WAWEKEZAJI WA CHINA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Wawekezaji na Viongozi wa Makampuni mbalimbali ya China Academy...
DK. BITEKO ATOA SOMO UZALISHAJI, MATUMIZI YA NISHATI AFRIKA•
*Asisitiza ushirikiano miongoni mwa nchi za Afrika
*Asema ubunifu na uvumbuzi utawezesha matumzi ya rasilimali
*Ahimiza nchi za Afrika kunadi agenda ya Nishati safi
Namibia
NAIBU...
RAIS DK.SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA TISA WA FOCAC
LEO Septemba, 5 2024, Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia mkutano wa tisa wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing.
Katika...
DK. BITEKO AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA HYDROGEN NCHINI NAMIBIA
📌 Afanya mazungumzo na Makamu wa Rais, Namibia, Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah
📌 Nishati safi yapigiwa chapuo kimataifa kwa maendeleo na ustawi wa jamii
📌 Namibia hasisitiza...