COMORO KUMUUNGA MKONO DK. NDUGULILE KINYANG’ANYIRO CHA WHO – AFRIKA

Na Mwandishi wetu, Comoro SERIKALI ya Comoro imeahidi kuunga mkono ugombea wa Dk. Faustine Ndugulile katika nafasi ya Ukurugenzi wa Kanda wa Shirika...

WASTAAFU WAONYWA KUHUSU MATAPELI

Na Asia Singano na Chedaiwe Msuya, Morogoro WIZARA ya Fedha imeendelea kuwakumbusha wastaafu wanaolipwa mafao na Wizara ya Fedha kutojihusisha na utoaji wa fedha  kwa...

SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LIMETANGAZA MIPANGO MIPYA KATIKA SHUGHULI ZA KIBIASHARA

Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital SHIRIKA la Ndege la Emirates limetangaza mipango yake mipya katika shughuli za kibiashara katika nchi zote ambazo zinahudumiwa na...

SERIKALI YAWAKARIBISHA WAFANYABIASHARA WA SAUDI ARABIA NCHINI

Na Mwandishi wetu, Saudi Arabia SERIKALI imewakaribisha wafanyabiashara wa Saudi Arabia kuja kufanya Biashara Tanzania katika sekta za Kilimo, Viwanda, Mifugo, Nishati, Madini, Utalii,...

DK. KIJAJI ATETA NA SAUDA EXIM

Na Mwandishi wetu, Saudi Arabia WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji ameishauri Benki ya Saudi Exim kuwawezesha wafanyabiashara wa Tanzania na Saudi...

MAWAZIRI WA AFRIKA KUJADILI VIPAUMBELE VYA AFRIKA IDA 21

Na Josephine Majura na Saidina Msangi, WF, Nairobi, Kenya WAZIRI wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba ameungana na Mawaziri wa Fedha wa Afrika kushiriki katika mkutano...

TANZANIA YAISHAURI BENKI YA DUNIA KUWEKA VIPAUMBELE KATIKA MIRADI YA MAENDELEO AFRIKA

Na Scola Malinga, WF, Washington TANZANIA imeishauri Benki ya Dunia kutilia maanani vipaumbele vya maendeleo vya nchi za Afrika ikiwemo kuzipatia fedha na ujuzi ili...

DK. NCHEMBA ATETA NA MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA DUNIA KUNDI LA AFRIKA

Na Joseph Mahumi, WF, Washington Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia anayesimamia Kundi la...

DK.BITEKO AMWAKILISHA RAIS SAMIA MAZISHI YA MKUU WA MAJESHI KENYA

📌 Awataka wakenya kuwa na subira katika kipindi hiki kigumu 📌 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) Jenerali Jacob Mkunda ashiriki maziko hayo Na Mwandishi wetu,...

DK. NCHEMBA  TANZANIA IMEPIGA HATUA KIUCHUMI NA KIDEMOKRASIA

Na Benny Mwaipaja, Washington D.C WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu  Nchemba, amelihakikishia Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC) kwamba Tanzania imepiga...