TANZANIA YAPIGIWA MFANO, KUKABILI MAAFA, MATUMIZI SAFI YA NISHATI YA KUPIKIA YATAJWA

Namibia SERIKALI ya Tanzania imeendelea kuonesha umahiri wake katika masuala ya menejimenti ya maafa nchini kwa kuzingatia mifumo sahihi ya kukabiliana na maafa na...

TANZANIA KUJIFUNZA TEKNOLOJIA YA MAGARI YA UMEME SINGAPORE – DK. BITEKO

πŸ“Œ Ashuhudia Teknolojia ya Kilimo janja (Smart farm) kinachotumia Teknolojia Mnemba πŸ“Œ Awapongeza HYUNDAI kwa ubunifu na kulinda mazingira Singapore NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa...

TANZANIA NA SINGAPORE KUIMARISHA UHUSIANO WAKE

πŸ“Œ Tanzania na Singapore Kuongeza Kiwango cha Ufanyaji Biashara. Singapore NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa uhusiano wa...

DK. BITEKO AKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI NCHINI

πŸ“Œ Ataja Mikakati ya Serikali Kuimarisha Sekta ya Nishati πŸ“Œ Aeleza Namna Tanzania Inavyojiandaa Kuuza Umeme nchi Jirani na Uwepo wa Soko la Uhakika πŸ“Œ Asema...

DK. TULIA NA RAIS WA HUNGARY WAJADILI HALI YA AMANI DUNIANI

Hungary SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, leo Oktoba,8 2024...

WAZIRI MKUU AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA AMREF

Marekani WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa Septemba 29, 2024 alifanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Amref Health Africa Dk. Githinji Gitahi, kando ya...

TANZANIA NA MAREKANI ZAJADILI USHIRIKIANO KATIKA UENDELEZAJI MADINI MKAKATI

Marekani kuwapa mafunzo ya teknolojia ya kisasa ya uendelezaji madini wataalam wa Tanzania Las Vegas, Nevada TANZANIA na Taasisi mbalimbali za Marekani zimekutana na kujadili...

WAZIRI MKUU AHUTUBIA UNGA-79, ASEMA SDGs NI MSINGI WA MATUMAINI

Marekani WAZIRI Mkuu Kasimu Majaliwa amehutubia Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79) na kusema Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)...

WAZIRI MKUU ATETA NA MWENYEKITI WA BODI YA CITIBANK

Yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania Marekani Β WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imekuwa inafanya kazi na benki ya Citibank ya Marekani kwa zaidi ya miaka...

WAZIRI MKUU AUNGANA NA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI UFUNGUZI WA MKUTANO WA UNGA...

Marekani WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 24, 2024 ameungana na wakuu wa nchi na Serikali katika ufunguzi wa Mkutano wa 79 wa Baraza...