RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA N WAWEKEZAJI WA CHINA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Wawekezaji na Viongozi wa Makampuni mbalimbali ya China Academy...

TANZANIA YAPONGEZWA KWA USTAWI WA ADPA

Na Mwandishi wetu, Zimbabwe SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini imepongezwa na Wanachama wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Almasi Afrika (ADPA) kwa kusaidia...

RAIS DK. SAMIA AKUTUNA NA RUTO NA MSEVENI ZANZIBAR

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wageni wake Rais Yoweri Museveni...

DK.NCHIMIBI AFANYA MAZUNGUMZO NA KOMREDI TANG DENGJIE

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mazungumzo na Komredi Tang Dengjie, Mjumbe wa Kamati Kuu ya...

RAIS DK.SAMIA AWASILI NCHINI CHINA KUSHIRIKI MKUTANO WA FOCAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Beijing Capital nchini China kwa...

WAZIRI KOMBO KUSHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA SADC, HARARE

Zimbabwe WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasili Harare, Zimbabwe kushiriki Mkutano wa Mawaziri wa...

RAIS DK.SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA KOREA NA AFRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Nchi mbalimbali mara baada ya ufunguzi...

MELI YADONDOSHA DARAJA NCHINI MAREKANI.

Washington DC. WATU wapatao 20 wanahofiwa kuwa ndani ya maji baada ya daraja la Francis Scott lililopo Baltimore Nchini Marekani kukatika vipandevipande leo March...

DKT. BITEKO AKUTANA NA KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI ZAMBIA

Na Mwandishi wetu NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu...

TCAA CCC KUANZA KUTUMIA AKILI MNEMBA (AI) KATIKA KUTOA ELIMU KWA WATUMIAJI WA USAFIRI...

Na Mwandishi wetu BARAZA la Ushauri la Watumiaji Huduma za Anga (TCAA CCC) limeahidi kuanza kutumia Teknolojia ya akili mnemba "Artificial intelligence " ili...