HAMAS WAVAMIA TENA HOSPITALI YA AL-SHIFA-JESHI LA ISRAEL.
Na Mwandishi wetu
MIEZI minne baada ya wanajeshi wa Israel kuvamia hospitali kubwa zaidi ya Gaza, al-Shifa, wakidai kuwa ni kificho cha kamandi ya...
MABINTI WA KATA YA KITUNDA WAJIFUNZA UJASIRIAMALI.
Na Mwandishi wetu,@Lajiji Digital
MWAKILISHI wa Afisa Maendeleo Mkoa wa Dar es Salaam,Masalida Njashi amewatoa hofu mabinti wa Kata ya Kitunda Wilaya ya Ilala...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA KATIKA SHEREHE ZA UAPISHO WA RAIS WA...
Msumbiji
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 15, 2025 ameshiriki sherehe za uapisho wa Rais wa Msumbiji akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.
Katika sherehe hizo...
WASTAAFU WAONYWA KUHUSU MATAPELI
Na Asia Singano na Chedaiwe Msuya, Morogoro
WIZARA ya Fedha imeendelea kuwakumbusha wastaafu wanaolipwa mafao na Wizara ya Fedha kutojihusisha na utoaji wa fedha kwa...
RAIS DK.SAMIA AKUTANA NA NAIBU KIONGOZI MKUU WA USAID
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzunguma na Naibu Kiongozi Mkuu wa USAID, Isobel Coleman leo ...
RAIS MNANGAGWA AZIHIMIZA MATAIFA YANAYOZALISHA ALMASI AFRIKA KUONGEZA THAMANI MADINI YAO
*Lugha ya Kiswahili yatumika katika Mkutano kwa mara ya kwanza
Victoria Falls, Zimbabwe.
RAIS wa Jamhuri ya Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amehimiza Mataifa yanayozalisha Almasi Barani Afrika...
TANZANIA YASISITIZA UHURU WA BIASHARA NA USALAMA WA NCH.
Na Mwandishi wetu, Nairobi
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Hashil Abdallah amesema Tanzania inaunga mkono harakati za kuwezesha usafirishaji wa...
WAZIRI MKUU AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA AMREF
Marekani
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa Septemba 29, 2024 alifanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Amref Health Africa Dk. Githinji Gitahi, kando ya...
DK.BITEKO AWASILI NCHINI KENYA KWA ZIARA YA KIKAZI
Kenya
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo amewasili jijini Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Pili wa Masuala...
WAZIRI MKUU AUNGANA NA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI UFUNGUZI WA MKUTANO WA UNGA...
Marekani
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 24, 2024 ameungana na wakuu wa nchi na Serikali katika ufunguzi wa Mkutano wa 79 wa Baraza...