SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LIMETANGAZA MIPANGO MIPYA KATIKA SHUGHULI ZA KIBIASHARA

Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital SHIRIKA la Ndege la Emirates limetangaza mipango yake mipya katika shughuli za kibiashara katika nchi zote ambazo zinahudumiwa na...

DK.BITEKO AMWAKILISHA RAIS SAMIA MAZISHI YA MKUU WA MAJESHI KENYA

📌 Awataka wakenya kuwa na subira katika kipindi hiki kigumu 📌 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) Jenerali Jacob Mkunda ashiriki maziko hayo Na Mwandishi wetu,...

MABINTI WA KATA YA KITUNDA WAJIFUNZA UJASIRIAMALI.

Na Mwandishi wetu,@Lajiji Digital MWAKILISHI wa Afisa Maendeleo Mkoa wa Dar es Salaam,Masalida Njashi amewatoa hofu mabinti wa Kata ya Kitunda Wilaya ya Ilala...

RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU BAINA YA KOREA NA AFRIKA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Viongozi mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Jukwaa la Miundombinu baina ya Korea...

TANZANIA YASISITIZA UHURU WA BIASHARA NA USALAMA WA NCH.

Na Mwandishi wetu, Nairobi KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Hashil Abdallah amesema Tanzania inaunga mkono harakati za kuwezesha usafirishaji wa...

RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO JAMHURI YA KOREA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Korea (Diaspora) kwenye Mkutano uliofanyika katika Hoteli ya...

COMORO KUMUUNGA MKONO DK. NDUGULILE KINYANG’ANYIRO CHA WHO – AFRIKA

Na Mwandishi wetu, Comoro SERIKALI ya Comoro imeahidi kuunga mkono ugombea wa Dk. Faustine Ndugulile katika nafasi ya Ukurugenzi wa Kanda wa Shirika...

TANZANIA NA KENYA ZA KUBALIANA KUONDOA VIKWAZO VYA BIASHARA

Na Mwandishi wetu,  Kenya Tanzania na Kenya zimekubaliana na kutia saini makubaliano ya kuondoa vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru ili kuruhusu raia kutoka nchi...

RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS XI JINPING WA CHINA. 

CHina RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano  na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema...

TANZANIA YANADI FURSA ZA MADINI MKAKATI KOREA KUSINI NA ASIA

Na Mwandishi wetu, Seoul, Korea Kusini KATIKA kuimarisha Ushirikiano wa Kimataifa kwenye Utafiti na Uchimbaji wa Madini Mkakati na Muhimu, Tanzania imepata nafasi ya...