ZARI THE BOSS LADY KESHO ANATARAJIA KUTOA MSAADA HOSPITALI
MPENZi wa zamani wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zarina Hassan maarufu The Boss Lady, anatarajiwa kutoa msaada kwa wanawake waliojifungua kwenye Hospitali...
RAIS DK. MWINYI AAHIDI KUENDELEZA MATAMASHA YA ASILI ILI KUONGEZA IDADI YA WATALII
Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuyaimarisha matamasha yaliyopo ikiwemo Mwaka Kogwa na...
ZANZIBAR KUSHIRIKIANA NA WASANII KUTANGAZA VIVUTIO:DK.MWINYI
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Wasanii kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii.
Dk.Mwinyi...
RAIS DK.SAMIA AMEPOKEA ZAWADI YA CD ZENYE BAADHI YA FILAMU ZA KOREA KUSINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Zawadi ya CD zenye baadhi ya Filamu zilizochezwa na Watayarishaji maarufu wa Jamhuri...
Halima amesema urembo unahitaji uwekezaji kama sekta zingine
Na Mwandishi wetu
Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Mrembo wa Dunia(Miss World 2024)Halima Kopwe ameimba serikali kuwekeza kwenye tasnia ya urembo kama inavyofanya...
DK. SERERA AHIMIZA MFUKO WA SANAA NA UTAMADUNI KUJENGA UWEZO KWA WASANII
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Suleiman Serera ametoa wito kwa watendaji wa Mfuko wa Utamaduni...
STEVE NYERERE AMESEMA WANATARAJIA KUAANDAA TAMASHA KUBWA
Na Mwandishi wetu
MWENYEKITI wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele maarufu kama"Steve Nyerere" amesema wanatarajia kufanya Tamasha kubwa kwaajili ya walemavu ...
KISWAHILI NI FURSA- BALOZI MAHMOUD THABIT KOMBO
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
LUGHA ya Kiswahili ni fursa Watanzania tutumie kukuza uchumi wetu.
Hayo yamesemwa mei, 6 , 2024 na Balozi wa Tanzania nchini Italia...
HARMONIZE ANATARAJIA KUZINDUA ALBUM YA TANO MEI 25
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MSANII wa mziki bongo fleva Rajab Abdul maarufu kama "Harmonize" Mei 25,2024 anatarajia kuzindua album yake ya tano ambayo...
TUZO ZA TAMTHILIA ZA KIMATAIFA KUZINDULIWA AGOSTI 24,2024
Dar es Salaam
WASANII filamu za Bongomovie wameshauriwa kuchangamkia fursa waliyopewa Kimataifa kupitia Tuzo za Tamthilia zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi Agosti 24,2024 Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza...