MAMA KANUMBA APONGEZA WAANDAJI WA TAMASHA LA FARAJA YA TASNIA

Dar es Salaam MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema tangu mwanaea afariki dunia  hajawahi kuangalia filamu ya Kanumba hata  moja kwa sababu...

WAZIRI DAMASI NDUMBALO ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI UFUNGUZI WA GRAND GALA DANCE

Dar es salaam WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo Damasi Ndumbalo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Msimu wa tatu wa grand gala dance...

WASANII WA TANZANIA NA KOREA KUCHEZA FILAMU KWA PAMOJA

Korea SEKTA ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia...

WAZIRI NDUMBARO ASISITIZA WASANII KURASIMISHA KAZI ZAO .

Dar es Salaam WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amehimiza na kuwasisitiza wasanii kujiraismisha ili kurahisisha mipango ya Serikali ya kuwatafutia...

WASAFI WAMPA POLE RAIS DK.MWINYI.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole kutoka kwa Mkurugenzi...

WASANII WA BONGO MOVIE WAJIFUNZA KWA KINA KUHUSU SEKTA YA MADINI

Dar es Salaam, BAADHI ya Wasanii wa filamu maarufu Bongo Movie wamepata fursa ya kujifunza kwa kina kuhusu sekta ya madini kupitia Maonesho ya 48...

TAMASHA LA UTALII LUSHOTO KUIBUA FURSA MPYA ZA AJIRA KWA WANANCHI

Na Ashrack Miraji, Tanga MKUU wa Wilaya Lushoto, Japhari Kubecha, amesema Tamasha la Utalii Wilayani humo liitwalo USAMBALA TOURISM FESTIVAL linatarajiwa kufanyika mwezi Septemba...

Zuchu afungiwa miezi sita Visiwani Zanzibar

Na Mwandishi wetu  BARAZA la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, ( BASSFU), limemfungia msanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu kwa jina...

DC TANGA AKUTANA NA FAMILIA ZA KING MAJUTO, SHABAN ROBERT.

Na Boniface Gideon,TANGA MKUU wa Wilaya ya Tanga, Raphael Kubecha mwishoni mwa wiki hii amekutana na familia za wanasanaa maarufu nchini King Majuto na Shaban...

KUKUMBATIA TAMADUNI ZA KIGENI NI HATARI KWA MAENDELEO YA NCHI – DK. BITEKO

📌 Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili 📌 Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino Mwanza NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ...