RC MTAMBI AWATAKA WASHIRIKI MISS LAKE ZONE KUWA MABALOZI KUTANGAZA UTALII WA NDANI

Na Shomari Binda-Musoma MKUU wa mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi amewataka washiriki wa shindano la Miss Kanda ya Ziwa kuwa mabolozi wa utalii wa...

TUZO ZA TAMTHILIA ZA KIMATAIFA KUZINDULIWA AGOSTI 24,2024

Dar es Salaam WASANII filamu za Bongomovie wameshauriwa kuchangamkia fursa waliyopewa Kimataifa kupitia Tuzo za Tamthilia zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi Agosti 24,2024 Jijini Dar es Salaam. Akizungumza...

WAZIRI DAMASI NDUMBALO ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI UFUNGUZI WA GRAND GALA DANCE

Dar es salaam WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo Damasi Ndumbalo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Msimu wa tatu wa grand gala dance...

TAMASHA LA UTALII LUSHOTO KUIBUA FURSA MPYA ZA AJIRA KWA WANANCHI

Na Ashrack Miraji, Tanga MKUU wa Wilaya Lushoto, Japhari Kubecha, amesema Tamasha la Utalii Wilayani humo liitwalo USAMBALA TOURISM FESTIVAL linatarajiwa kufanyika mwezi Septemba...

ZANZIBAR KUSHIRIKIANA NA WASANII KUTANGAZA VIVUTIO:DK.MWINYI

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Wasanii kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii. Dk.Mwinyi...

RAIS DK. MWINYI AAHIDI KUENDELEZA MATAMASHA YA ASILI ILI KUONGEZA IDADI YA WATALII

Unguja RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuyaimarisha matamasha yaliyopo ikiwemo Mwaka Kogwa na...

WASANII WA BONGO MOVIE WAJIFUNZA KWA KINA KUHUSU SEKTA YA MADINI

Dar es Salaam, BAADHI ya Wasanii wa filamu maarufu Bongo Movie wamepata fursa ya kujifunza kwa kina kuhusu sekta ya madini kupitia Maonesho ya 48...

KUKUMBATIA TAMADUNI ZA KIGENI NI HATARI KWA MAENDELEO YA NCHI – DK. BITEKO

📌 Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili 📌 Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino Mwanza NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ...

WAZIRI NDUMBARO ASISITIZA WASANII KURASIMISHA KAZI ZAO .

Dar es Salaam WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amehimiza na kuwasisitiza wasanii kujiraismisha ili kurahisisha mipango ya Serikali ya kuwatafutia...

WASANII WA TANZANIA NA KOREA KUCHEZA FILAMU KWA PAMOJA

Korea SEKTA ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia...