TRADE MARK AFRIKA KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI NCHINI
Na Saidina Msangi,Dodoma.
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Amina Khamis Shaaban, ameongoza Mkutano wa 47 wa Kamati Tendaji ya Kitaifa (National Oversight Committee -NOC)...
WATANZANIA TUMIENI FURSA MAONESHO YA 48 YA SABA SABA
Dar es Salaam
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa Watanzania kushirikiMaonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es...
MKURUGENZI NIC WAWEKEZAJI WANAPASWA KUKATA BIMA ZA BIASHARA
Dar es Salaam
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Taifa la Bima (NIC) Kaimu Abdi amesema kufuatia uwekezaji unaondela nchini wawekezaji wanapaswa kukata bima za...
RC CHALAMILA WAFANYABIASHARA WALIOFUNGUA MADUKA KARIAKOO WASISHINIKIZWE KUFUNGA
-Asema falsafa ya Dk. Samia ni kutatua migogoro kwa kukaa mezani pamoja
-Asisitiza kamwe migogoro haiwezi kusuluhishwa kwa mashinikizo
Dar es Salaam
MKUU wa Mkoa wa...
WAVUVI WA MUSOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI MIKOPO NAFUU YA DK.SAMIA YA UVUVI WA VIZIMBA
Na Shomari Binda-Musoma
WAVUVI katika jimbo la Musoma vijijini wameishukuru serikali chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mikopo nafuu kwaajili ya uvuvi wa vizimba.
Shukrani...
SERIKALI YAPUNGUZA KODI KWENYE VIFAA VYA MAZOEZI TIBA
Na Saidina Msangi, Dodoma.
SERIKALI imesema kuwa msamaha kwenye vifaa tiba vya mazoezi yaani physiotherapy hutolewa kwa hospitali zilizosajiliwa na kuidhinishwa na Waziri wa Afya,...
TANI 1100 ZA UFUTA ZIMEUZWA PWANI KATIKA MNADA WA NNE KWA SHILINGI 3280/- KWA...
Pwani
TANI 1100 za zao la ufuta zimeuzwa katika mnada wa nne wa msimu wa mwaka 2024/25 kwa bei ya shilingi 3280.13 kwa kilo Moja...
BRELA YATOA ELIMU MAONYESHO YA BIASHARA NA UTALII TANGA.
Na Boniface Gideon,Tanga
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wameendelea na zoezi la kutoa Elimu kwa Wafanyabiashara na Wananchi pamoja na kufanya huduma...
BENKI YA AKIBA YATOA ELIMU YA FEDHA KWA WADAU MBALIMBALI
Na Mwandishi wetu,Dodoma
BENKI ya Akiba imesema itaendelea kuunga mkono serikali kwa kutoa elimu ya fedha huku ikiboresha huduma zake nchi nzima ili kusaidia...
DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR
Na Benny Mwaipaja, DodomaWaziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameipongeza Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kwa kupanua biashara zake hapa nchini na kuitaka...