SAGCOT :PARACHICHI LINALOLIMWA NCHINI LINA THAMANI NJE YA NCHI

Dodoma TAAASISI Inayojihusisha na Mpango wa Kukuza Kilimo Ukanda wa Kusini Mwa Tanzania (SAGCOT) imesema zao la parachichi linalolimwa hapa nchini lina ubora...

SERIKALI KUZINDUA SERA MPYA YA BIASHARA

Na Esther Mnyika, Dar es salaam SERIKALI inatarajia kuzindua Sera mpya yaTaifa ya Biashara ya 2003 Toleo la 2023 yenye dhamira ya kuweka mfumo...

WAZIRI MAVUNDE AAGIZA LESENI ZA UTAFITI 45 MKOANI RUKWA KUREJESHWA SERIKALINI

-Ni Leseni ambazo hazifanyiwi kazi na kuzuia maelfu ya wachimbaji kuchimba -Eneo lililorejeshwa la ekari 812,383 ni kubwa zaidi ya Wilaya ya Sumbawanga -Wachimbaji wadogo na...

MAROBOTI YAWA KIVUTIO SABASABA

Dar es Salaam IKIWA zimebaki siku mbili kufungwa kwa maonesho 48 ya biashara kimataifa maarufu kama Sabasaba miongoni mwa vitu ambavyo vimekuwa kivutio ni pamoja...

MKURUGENZI NIC WAWEKEZAJI WANAPASWA KUKATA BIMA ZA BIASHARA

Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Taifa la Bima (NIC) Kaimu Abdi amesema kufuatia uwekezaji unaondela nchini wawekezaji wanapaswa kukata bima za...

TANI 1100 ZA UFUTA ZIMEUZWA PWANI KATIKA MNADA WA NNE KWA SHILINGI 3280/- KWA...

Pwani TANI 1100 za zao la ufuta zimeuzwa katika mnada wa nne wa msimu wa mwaka 2024/25 kwa bei ya shilingi 3280.13 kwa kilo Moja...

SHILINGI BILIONI 108.43 KUWEZESHA UANZISHAJI, UENDELEZAJI VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI – DK. BITEKO

📌 Mwananchi Communications Ltd yapongezwa kwa ubunifu 📌 Kongamano la Wajasiriamali wadogo na wa kati kuibua fursa (MSMEs) Dar es Salaam SERIKALI kupitia Benki ya Maendeleo...

WATANZANIA TUMIENI FURSA MAONESHO YA 48 YA SABA SABA

Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa Watanzania kushirikiMaonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es...

TRADE MARK AFRIKA KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI NCHINI

Na Saidina Msangi,Dodoma. NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Amina Khamis Shaaban, ameongoza Mkutano wa 47 wa Kamati Tendaji ya Kitaifa (National Oversight Committee -NOC)...

MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA ATOA RAI WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA.

Dar es Salaam MWENYEKITI waJumuiya ya Wafanyabiashara Soko la Kimataifa la Kariakoo, Martin Mbwana ametoa rai kwa wafanyabiashara kufungua maduka yao na kuendelea kufanyakazi...