TUSIWATENGE WALA KUWANYANYAPAA WATOTO WENYE USONJI – MAJALIWA
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuacha kuwanyanyapaa watoto na watu wanaoishi na Usonji, magonjwa ya...
HOSPITALI YA MUHIMBILI YAPOKEA MASHINE MAALUMU KWAAJILI YA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MATITI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili(MNH) imepokea mashine maalumu Mammography aina ya Senographe Pristina 3D yenye thamani ya milioni 800 kwaajili ya...
MDAU WA MAENDELEO NDUGU JOSEPH MUSHI ALIYEJENGA ZAHANAT KIBOSHO AIKOSHA SERIKALI YA CCM
MDAU WA MAENDELEO NDUGU JOSEPH MUSHI ALIYEJENGA ZAHANAT KIBOSHO AIKOSHA SERIKALI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Na Ashrack Miraji, Same
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM)...
HOSPITALI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA MAGONJWA YA MIFUPA NA...
Na Shomari Binda, Musoma
SERIKALI imesema hospital ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere iliyopo mkoani Mara imetengwa kuwa hospital inayotoa huduma za kibingwa magonjwa ya...
DKT. BITEKO AAGIZA MPANGO MKAKATI KUIMARISHA HUDUMA AFYA YA MSINGI
📌Asisitiza kutoa elimu ya afya kwa jamii
📌Aupongeza Mfumo wa M-mama uliobuniwa na Watanzania
📌Jumla ya vituo 2,799 vimejengwa na vingine kufanyiwa ukarabati kuanzia mwaka 2017...
DK.MPANGO AMEMUAGIZA WAZIRI WA TAMISEMI KUTAMA TIMU WATALAAMU KUCHUNGUZA HOSPITALI
Na Mwandishi wetu, Kilimanjaro
MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...
SHILINGI TRILIONI 1.4 KUTUMIKA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MALARIA, UKIMWI NA KIFUA KIKUU
Na Mwandishi wetu, Dodoma
SERIKALI ya Tanzania imepokea jumla ya dola za kimarekani milioni 602 sawa na trilioni 1.4 za kitanzania kwa ajili ya...
KUOZA MENO, MAPENGO NI TATIZO KUBWA LA AFYA YA KINYWA NA MENO MKOANI PWANI...
Na Scolastica Msewa, Kibaha
WANANCHIi zaidi ya 6000 wamejitokeza kupata huduma ya afya ya kinywa na meno mkoani Pwani Katika kipindi cha wiki Moja ikiwa...
WAZIRI UMMY AFUNGUKA MIAKA MITATU YA RAIS DK.SAMIA
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan sekta ya afya imeendelea kuwa imara na kusonga mbele...
WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA FIGO KWA KUJIEPUSHA NA UNYWAJI POMBE KUPITA KIASI NA MATUMIZI YA...
Na Shomari Binda, Musoma
SERIKALI imetoa ushauri kwa wananchi kutunza figo kwa kujieusha na matumizi ya unywaji pombe kupita kiasi na uvutaji wa tumbaku.
Kauli hiyo...