TUNA MKAKATI MAALUM NA COMORO- PROFESA JANABI

Na Mwandishi wetu MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Prof Mohamed Janabi amesema kuwa wana mkakati maalum wa kutoa huduma za kisada za...

NEMC IMETOA SIKU 90 KWA KUWEKA MIUNDOMBINU SAHIHI KWA TAASISI ZOTE NCHINI...

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital BARAZA la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa siku 90 kwa kuweka miundombinu sahihi kwa taasisi zote...

WEKEZA KATIKA UTAFITI KUCHOCHEA MAENDELEO DK. BITEKO

📌Rais Samia atunukiwa tuzo kwa mchango wake Sekta ya Afya 📌NIMR yapongezwa kwa ushawishi wa utafiti kimataifa 📌Serikali yatoa kipaumbele tafiti za kisayansi 📌Vituo vya utafiti vyaaswa...

BAJETI YA WIZARA YA AFYA YAPITISHWA KWA KISHINDO!

Bunge la Tanzania Limeridhia kwa kishindo kwa asilimia mia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara ya Afya kwa kuidhinisha jumla ya...

MBUNGE MAVUNDE AKABIDHI GARI YA KUBEBEA WAGONJWA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA

Na Mwandishi wetu,Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH) Jijini Dodoma imepokea gari nyingine ya kubebea wagonjwa hivyo kufikisha magari hayo matatu ikiwa ni sehemu...

TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA, WAWASILI IRINGA.

Na Mwandishi wetu, Iringa IKIWA ni muendelezo wa utekelezaji wa dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha sekta ya afya na...

WAZIRI MKUU ASHIRIKI KAMPENI YA KITAIFA YA MAZOEZI YA WIZARA YA AFYA.

Aungana na wakazi Dar kufanya mazoezi Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameshiriki mazoezi ya pamoja ya kampeni ya kitaifa inayoratibiwa na Wizara...

SIERRA LIONE WATEMBELEA JKCI KUJIFUNZA NAMNA WALIVOPIGA HATUA KUBWA KATIKA MATIBABU YA MOYO BARANI...

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital TIMU ya wataalamu wa Wizara ya Afya kutoka Sierra Leone, wamefika nchini kujifunza namna ya kuanzisha matibabu ya moyo nchini...

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SARATANI NCHINI- DK. BITEKO

📌 Azindua Kituo cha Matibabu ya Saratani cha Aga Khan 📌 Ataka utoaji huduma usiwe wa kibaguzi 📌 Aelekeza Aga Khan kushirikiana na Taasisi ya Ocean...

MSD WAMEKUBALIANA KUSHIRIKIANA NA BOHARI YA DAWA YA SIERRA LEONE

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital BOHARI Kuu ya Dawa Nchini (MSD) wamekubaliana kushirikiana na Bohari ya Dawa ya Sierra leone kubadilishana taarifa za utendaji ili...