MADAKTARI BINGWA WA RAIS DK.SAMIA KUANZA KUTOA MATIBABU MUSOMA KESHO

Na Shomari Binda-Musoma MADAKTARI bingwa wa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan wataanza kutoa huduma za matibabu ya kibingwa kwenye hospital ya manispaa ya Musoma kesho 24...

WACHIMBAJI WA MADINI TUMIENI MAKONGAMANO NA MIKUTANO YA WIKI YA MADINI 2024 KUISHAURI SERIKALI...

Dodoma RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania FEMATA John Bina amewataka wachimbaji wadogo nchini kuacha kuilalamikia Serikali' badala yake waishauri kuhusu...

DK. MBONEA: JAMII IJITOKEZE KUCHANGIA DAMU KUKIDHI MAHITAJI MKUBWA

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imetoa wito kwa jamii nchini kujitokeza kuchangia damu ili kukabiliana na uhitaji wa damu uliopo hospitali...

MUHIMBILI MLOGANZILA SULUHISHO LA MATIBABU YA NYONGA NA MAGOTI

Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Janabi amesema MNH-Mloganzila imeendelea kuimarisha na kuanzisha huduma mpya za ubingwa bobezi ikiwemo...

WAUGUZI WANAOHUDUMIA WATOTO WENYE SARATANI WAJENGEWA UWEZO MUHIMBILI

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kushirikiana na Taasisi ya Global Hope pamoja na Tumaini la Maisha wameendesha mafunzo kwa wauguzi...

MATUMIZI YA TUMBAKU HUPOTEZA NGUVU KAZI KATIKA JAMII DK. KILIMA

Dar es Salaam MATUMIZI ya tumbaku katika umri mdogo husababisha athari za mapema za kuzorota kwa afya ya akili, mapafu, ukuaji na mwili mzima...

MIFUMO YA KIDIGITALI KUBORESHA HUDUMA MUHIMBILI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital HOSPITALI ya Taifa Muhimbili iko kwenye hatua mbalimbali za kutumia mifumo ya kidigitali katika baadhi ya maeneo ya kutolea huduma...

MUHIMBILI YAPOKEA MSAADA WA MASHINE YENYE THAMANI YA MILIONI 16.9.

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imepokea msaada wa mashine POCUS yenye thamani ya shilingi miloni 16.9 kutoka kwa wafadhili wa...

CHUO CHA UFUNDI FURAHIKA KIMEJIPANGA KUWAKATIA BIMA YA AFYA WANAFUNZI

Na Sophia Kingimali @Lajiji Digital CHUO cha Ufundi cha Furahika kimejipanga kuwakatia Bima ya Afya wanafunzi wake wanaochukua kozi za mwaka mmoja ili kuwapa...

PROFESA JANABI VIONGOZI WENZANGU TOENI MAAMUZI NA KUTATUA CHANGAMOTO KWA WAKATI

Na Mwandisi wetu@Lajiji Digital MKURUGENZI Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amewataka viongozi wa hospitali hiyo kutoa maamuzi na kutatua changamoto...