MELI VITA YA KICHINA YA MATIBABU YAHUDUMIA WATU ZAIDI YA 5,000
Dar es Salaam
MELIVITA ya matibabu iitwayo 'Peace Ark' ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China imetoa matibabu kwa wagonjwa zaidi ya elfu...
MUHIMBILI YAPEWA TUZO YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA NCHINI
Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) leo imepokea tuzo inayotambua mchango wake katika kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya nchini ambayo...
TANZANIA, MAREKANI WASHIRIKIANA KUPAMBANA DHIDI YA UGONJWA WA SARATANI
Marekani
TANZANIA na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, Vifaa Tiba hususani vya kutoa huduma za Mionzi, Takwimu, Tafiti pamoja...
HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA TEMEKE YAIMARISHA HUDUMA KWA KUPOKEA MAGARI YA KUBEBEA WAGONJWA
Dar es Salaam
HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa Temeke (TRRH) imepokea rasmi magari mawili ya kubeba wagonjwa, ambayo yamezinduliwa na Mbunge wa Jimbo la...
MENEJIMENTI YA MOI YARIDHISHWA NA HALI YA UTOAJI WA HUDUMA ZA MOI SABASABA.
Dar es SalaamÂ
MENEJIMENTI ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeridhishwa na hali ya utoaji wa huduma ya ushauri na elimu...
MUHIMBILI NA AbbVie KUBORESHA HUDUMA ZA UTOAJI GANZI NA ICU ZA WATOTO
Na Beatrice Mushi-MNH
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imeendelea kuboresha utoaji huduma ya dawa za usingizi na ganzi pamoja na dawa za kusaidia kukomaza mapafu...
WANANCHI SERENGETI WAPAZA SAUTI KUMSHUKURU RAIS SAMIA UJIO WA MADAKTARI BINGWA
Na Shomari Binda-Serengeti
WANANCHI wilayani Serengeti mkoani Mara wamepaza sauti ya kumshukuru Rais Dk.Samia kwa kuapelekea madaktari bingwa wa kuwatibu.
Wakizungumza kwenye hospital ya Wilaya ya...
MAABARA YA MUHIMBILI MLOGANZILA YAPAA KWA UBORA KIMATAIFA
Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara nyingine imepata cheti cha Ithibati ya Ubora Kimataifa kutoka Shirika la Viwango vya Ukaguzi Kimataifa...
WATUMISHI GST WAPATIWA SEMINA YA MAADILI, RUSHWA NA MAGONJWA
Dodoma
WATUMISHI wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) wamepatiwa Mafunzo ya Maadili, Rushwa na Magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza ikiwa ni...
UONGOZI WA MUHIMBILI-MLOGANZILA WAKUTANA NA CHUO KIKUU CHA YONSEI
Dar es Salaam
UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila umekutana na kufanya mazungumzo na jopo la wataalam kutoka Shule ya Uzamili ya Afya...