PROFESA ASSAD AONGOZA KONGAMANO TATHMINI UJENZI HOSPITALI YA KIISLAMU MKOA TANGA.

Na Boniface Gideon -Tanga ALIYEKUWA Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),Profesa Mussa Assad leo Agosti 5 ameongoza kongamano la tathmini ya ujenzi...

TLS YATAKIWA KUSIMAMIA HAKI NA AMANI KUCHOCHEA MAENDELEO

📌 Dk. Biteko amwakilisha Rais Samia kufungua Mkutano Mkuu 2024 📌 Awataka Mawakili kuchaguana kwa haki 📌 Wananchi zaidi ya 7358 wamefikiwa na TLS kupata huduma 📌...

WANAFUNZI WA AFYA 25,390 WADAHILIWA KUPUNGUZA UHABA WA WATUMISHI

Dar es Salaam SERIKALI imeongeza udahili wa wanafunzi wa Taaluma za Afya ngazi ya kati, kutoka wanafunzi 20,030 mwaka 2020 hadi kufikia wanafunzi 25,390...

KWA MARA YA KWANZA BMH YAPANDIKIZA ULOTO KWA MGONJWA WA SIKOSELI MWENYE KUNDI LA...

Dodoma KWA mara ya kwanza, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanya upandikizaji uloto kwa mgonjwa wa sikoseli ambaye anatofautiana kundi la damu na mchangiaji...

TAASISI YA BENJAMIN MKAPA IMEJIKITA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA RASILIMALI WATU

Dar es Salaam TAASISI ya Benjamini Mkapa kwa kushirikiana na Serikali imejikita katika kutatua changamoto za rasilimali watu Sekta ya Afya kwa kuajiri watumishi wa...

ASILIMIA 50 YA WATUMISHI WANAHITAJIKA MIKOA YA PEMBEZONI

Dar es Salaam WATUMISHI wa Afya nchini wametakiwa kwenda kufanya kazi katika Halmashauri za pembezoni mwa nchi ili kupunguza uhaba wa wataalamu hao unaokadiriwa kuwa...

ENDELEENI KUWAHAMASISHA WANANCHI WAEPUKE TABIA ZEMBE – MAJALIWA

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Afya iendelee kuwahamasisha wananchi wabadili mitindo ya maisha ili kuepuka tabia zembe zinazochochea ongezeko la magonjwa...

RC CHALAMILA: WANANCHI WA DAR ES SALAAM JITOKEZENI KUPIMA HOMA YA INI NA KUPATA...

Dar es salaam WIZARA ya Afya kupitia Mpango wake kabambe wa kudhibiti Ukimwi magonjwa ya ngono pamoja na homa ya Ini kwa kushirikiana na Mkoa...

TATUENI KERO ZA WATUMISHI WA AFYA KATIKA HALMASHAURI ZENU’ DK. MAHERA

Kigoma NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya Ofisi ya Rais - TAMISEMI Dk. Charles Mahera amewaelekeza Makatibu wa Afya Mikoa na Halmashauri nchini kufuatilia, kushughulikia na...

DK. MAHERA AELEKEZA MABADILIKO KWA WARATIBU WA MAGONJWA YASITOAMBUKIZA WALIOSHINDWA KUTOA TAKWIMU

Dodoma NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI anayeshughurikia Afya Dk. Charles Mahera amemuelekeza Mkurugenzi wa huduma za Afya Ustawi wa Jamii na...