WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA BINADAMU, KIGAMBONI
Awataka kuwekeza katika ubora wa dawa
Pia akagua utekelezaji wa maagizo yake ya uwekaji wa taa barabarani, Kigamboni
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo...
WASANII KUPIMA MOYO BURE JKCI
Dar es Salaam
TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao kwenye kampeni ya kupima afya ya...
DK. MPOKI AIOMBA MENEJIMENTI YA MOI IANGALIE UWEZAKANO WA KUTOA HUDUMA SAA 24
Dar es Salaam
MKURUGENZI Mtendaji mpya wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Balozi Dk. Mpoki Ulisubisya amesema katika kuendelea kuwapatia...
ZAHANATI MPYA YAFUNGULIWA LEO KIJIJI CHA NYABAENGERE KUONGEZA UTOAJI HUDUMA ZA AFTA MUSOMA VIJIJINI
Na Shomari Binda, Musoma
ZAHANATI mpya imefunguliwa Disemba, 5 2024 kwenye Kijiji cha Nyabaengere Kata ya Musanja Jimbo la Musoma vijijini ili kuendelea kuwafikia karibu...
WAZIRI MKUU AWATAKA WAFAMASIA KUZINGATIA MAADILI
Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wafamasia nchini watoe dawa kwa kuzingatia maadili ya taaluma yao na waache kutoa dawa kiholela ili kuimarisha ufanisi...
VETA YAJA NA UFUMBUZI WA UGONJWA WA MALARIA,FANGASI NA MKOJO MCHAFU(UTI)
Dar es salaam
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Dar es Salaam imeendelea kutoa mafunzo kwa vitendo na ubunifu zaidi ili kuleta...
PROFESA JANABI AWAHAKIKISHIA WATUMISHI MUHIMBILI STAHIKI ZAO KWA WAKATI
Dar es Salaam
MKURUGENZI Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesisitiza kuwa katika kipindi cha uongozi wake atahakikisha watumishi wanapata stahiki...
LILIANROSE AIBUKA KIDEDEA KATIBU MSAIDIZI BARAZA LA WAFANYAKAZI MUHIMBILI.
Dar es Salaam
WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila limemchagua Lilianrose Fedrick kuwa Katibu Msaidizi wa...
WAUGUZI IDARA YA CHUMBA CHA UPASUAJI MOI, MNH, AGAKHAN NA TEMEKE WANOLEWA
Dar es Salaam
WAUGUZI wa Idara ya chumba cha upasuaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Hospitali ya Taifa...
MOI YAWAHIMIZA WAGONJWA NA NDUGU WA WAGONJWA KUDAI RISITI BAADA YA KUFANYA MALIPO
Dar es Salaam
WAGONJWA na ndugu wa wagonjwa wanaopatiwa huduma za matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamehimizwa...