SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SARATANI NCHINI- DK. BITEKO
📌 Azindua Kituo cha Matibabu ya Saratani cha Aga Khan
📌 Ataka utoaji huduma usiwe wa kibaguzi
📌 Aelekeza Aga Khan kushirikiana na Taasisi ya Ocean...
WAZIRI MKUU ASHIRIKI KAMPENI YA KITAIFA YA MAZOEZI YA WIZARA YA AFYA.
Aungana na wakazi Dar kufanya mazoezi
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameshiriki mazoezi ya pamoja ya kampeni ya kitaifa inayoratibiwa na Wizara...
ASILIMIA 50 YA WATUMISHI WANAHITAJIKA MIKOA YA PEMBEZONI
Dar es Salaam
WATUMISHI wa Afya nchini wametakiwa kwenda kufanya kazi katika Halmashauri za pembezoni mwa nchi ili kupunguza uhaba wa wataalamu hao unaokadiriwa kuwa...
WATUMISHI GST WAPATIWA SEMINA YA MAADILI, RUSHWA NA MAGONJWA
Dodoma
WATUMISHI wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) wamepatiwa Mafunzo ya Maadili, Rushwa na Magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza ikiwa ni...
MIFUMO YA KIDIGITALI KUBORESHA HUDUMA MUHIMBILI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili iko kwenye hatua mbalimbali za kutumia mifumo ya kidigitali katika baadhi ya maeneo ya kutolea huduma...
TUSIWATENGE WALA KUWANYANYAPAA WATOTO WENYE USONJI – MAJALIWA
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuacha kuwanyanyapaa watoto na watu wanaoishi na Usonji, magonjwa ya...
MUHIMBILI MLOGANZILA KUENDELEA KUTOA MATIBABU YA UPANDIKIZAJI WA NYONGA NA MAGOTI
Dar es Salaam
MKURUGENZI Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema hospitali hiyo itaendelea kutoa matibabu ya ubingwa bobezi ikiwemo upandikizaji wa...
MARATHON NI MPANGO MKAKATI WA KUJENGA AFYA ZA WATANZANIA – MAJALIWA
Lindi
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema marathon zinazofanyika kila kona nchini ni mpango mkakati wa kuwafanya Watanzania wawe na afya njema na wakae pamoja ili...
MATUMIZI YA TUMBAKU HUPOTEZA NGUVU KAZI KATIKA JAMII DK. KILIMA
Dar es Salaam
MATUMIZI ya tumbaku katika umri mdogo husababisha athari za mapema za kuzorota kwa afya ya akili, mapafu, ukuaji na mwili mzima...
ENDELEENI KUWAHAMASISHA WANANCHI WAEPUKE TABIA ZEMBE – MAJALIWA
Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Afya iendelee kuwahamasisha wananchi wabadili mitindo ya maisha ili kuepuka tabia zembe zinazochochea ongezeko la magonjwa...