WATOTO 13 WAFANYIWA UPASUAJI WA KUNYOOSHA KIBIONGO MOI

Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na ubongo Muhimbili (MOI) imehitimisha kambi maalum ya upasuaji wa kurekebisha kibiongo ambapo watoto 13 wamefanyiwa...

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAPOKEA MASHINE MAALUMU KWAAJILI YA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MATITI

 Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital HOSPITALI ya Taifa Muhimbili(MNH) imepokea mashine maalumu  Mammography aina ya Senographe Pristina 3D yenye thamani  ya milioni 800 kwaajili ya...

WAGONJWA 12 KUFANYIWA UPASUAJI WA MGONGO KWA KUTUMIA MATUNDU MADOGO WAKATI WA KAMBI MAALUM...

Dar es Salaam WAGONJWA 12 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mgongo kwa kutumia teknolojia mpya ya upasuaji kwa matundu madogo (Spine Endoscope) katika Taasisi ya...

MOI YAANZA RASMI KUFANYA UPASUAJI WA UTI WA MGONGO KWA NJIA YA MATUNDU

Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza rasmi kutoa huduma mpya za upasuaji uti wa mgongo kwa kutumia...

KILA MWAKA WATOTO 7500 HUZALIWA NA MATATIZO MBALIMBALI IKIWEMO VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI

Dar es Salaam TAKWIMU za Wizara ya Afya zinaonyesha kila mwaka watoto 7500 huzaliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo...

MOI YAWAHIMIZA WAGONJWA NA NDUGU WA WAGONJWA KUDAI RISITI BAADA YA KUFANYA MALIPO

Dar es Salaam WAGONJWA na ndugu wa wagonjwa wanaopatiwa huduma za matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamehimizwa...

KUOZA MENO, MAPENGO NI TATIZO KUBWA LA AFYA YA KINYWA NA MENO MKOANI PWANI...

Na Scolastica Msewa, Kibaha WANANCHIi zaidi ya 6000 wamejitokeza kupata huduma ya afya ya kinywa na meno mkoani Pwani Katika kipindi cha wiki Moja ikiwa...

RADIAN LIMITED YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA MAHITAJI YA KIJAMII KWA WAGONJWA MOI

Dar es Salaam SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Radian Limited kupitia kitengo chake cha Radian for Development limetoa msaada wa vifaa tiba, mahitaji ya...

CHUO CHA UFUNDI FURAHIKA KIMEJIPANGA KUWAKATIA BIMA YA AFYA WANAFUNZI

Na Sophia Kingimali @Lajiji Digital CHUO cha Ufundi cha Furahika kimejipanga kuwakatia Bima ya Afya wanafunzi wake wanaochukua kozi za mwaka mmoja ili kuwapa...

MOI KUANZA KUFANYA UPASUAJI WA UBONGO KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA AKILI UNDE

Na Abdallah Nassoro- Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), mapema wiki hii inatarajia kuanza kutoa huduma za upasuaji wa...