WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA FIGO KWA KUJIEPUSHA NA UNYWAJI POMBE KUPITA KIASI NA MATUMIZI YA...
Na Shomari Binda, Musoma
SERIKALI imetoa ushauri kwa wananchi kutunza figo kwa kujieusha na matumizi ya unywaji pombe kupita kiasi na uvutaji wa tumbaku.
Kauli hiyo...
MDAU WA MAENDELEO NDUGU JOSEPH MUSHI ALIYEJENGA ZAHANAT KIBOSHO AIKOSHA SERIKALI YA CCM
MDAU WA MAENDELEO NDUGU JOSEPH MUSHI ALIYEJENGA ZAHANAT KIBOSHO AIKOSHA SERIKALI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Na Ashrack Miraji, Same
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM)...
MADAKTARI BINGWA WA NYONGA KUTOKA INDIA KUFANYA UPASUAJI WA MAGOTI NA NYONGA DAR
· Ni matunda ya ziara ya Rais Samia India
· Wagonjwa nje ya nchi sasa kumiminika kutibiwa hospitali za Tanzania
Na Mwandishi Wetu
DAKTARI bingwa wa upasuaji...
MSD WAMEKUBALIANA KUSHIRIKIANA NA BOHARI YA DAWA YA SIERRA LEONE
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
BOHARI Kuu ya Dawa Nchini (MSD) wamekubaliana kushirikiana na Bohari ya Dawa ya Sierra leone kubadilishana taarifa za utendaji ili...
MENEJIMENTI YA MOI YARIDHISHWA NA HALI YA UTOAJI WA HUDUMA ZA MOI SABASABA.
Dar es Salaam
MENEJIMENTI ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeridhishwa na hali ya utoaji wa huduma ya ushauri na elimu...
KUOZA MENO, MAPENGO NI TATIZO KUBWA LA AFYA YA KINYWA NA MENO MKOANI PWANI...
Na Scolastica Msewa, Kibaha
WANANCHIi zaidi ya 6000 wamejitokeza kupata huduma ya afya ya kinywa na meno mkoani Pwani Katika kipindi cha wiki Moja ikiwa...
NEMC IMETOA SIKU 90 KWA KUWEKA MIUNDOMBINU SAHIHI KWA TAASISI ZOTE NCHINI...
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
BARAZA la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa siku 90 kwa kuweka miundombinu sahihi kwa taasisi zote...
KILA MWAKA WATOTO 7500 HUZALIWA NA MATATIZO MBALIMBALI IKIWEMO VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI
Dar es Salaam
TAKWIMU za Wizara ya Afya zinaonyesha kila mwaka watoto 7500 huzaliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo...
WANANCHI SERENGETI WAPAZA SAUTI KUMSHUKURU RAIS SAMIA UJIO WA MADAKTARI BINGWA
Na Shomari Binda-Serengeti
WANANCHI wilayani Serengeti mkoani Mara wamepaza sauti ya kumshukuru Rais Dk.Samia kwa kuapelekea madaktari bingwa wa kuwatibu.
Wakizungumza kwenye hospital ya Wilaya ya...
NIC YAIGUSA IDARA YA WATOTO MUHIMBILI KWA MSAADA WA MILIONI 20.
Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa vifaa tiba, fenicha pamoja na ukarabati wa kliniki ya watoto wenye thamani ya...