

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Benki ya Dunia, Ajay Banga, Ikulu Jijini Dar es Salaam leo.Januari, 27 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Taasisi ya Rockefeller Dkt. Rajiv Sha Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Januari, 27 2025.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohamed Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Januari, 27 2025.