Home KITAIFA MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA MBALIMBALI WA MWAKA 2024 WATUA...

MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA MBALIMBALI WA MWAKA 2024 WATUA BUNGENI.

Dodoma

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amewasilisha mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2024 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2024].

Muswada huo umewasilishwa leo Septemba 2, 2024 Bungeni jijini Dodoma.

Akisoma Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2024 [ The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2024], Mhe. Johari amesema,muswada huo unapendekeza kufanya Marekebisho katika Sheria za;

Sheria ya Usimamizi wa Maendeleo ya Uvuvi wa Bahari Kuu, Sura ya 388 [The Deep-Sea Fisheries Management and Development Act, Cap 388],

Sheria ya Madini sura ya 123 [ The Mining Act, Cap 123] na Sheria ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania, Sura ya 280 [The Tanzania Fisheries Research Institute Act .

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here