Home KITAIFA RAIS DK.SAMIA AZINDUA BWAWA LA UMWAGILIAJI LENYE MITA ZA UJAZO MILIONI 25.

RAIS DK.SAMIA AZINDUA BWAWA LA UMWAGILIAJI LENYE MITA ZA UJAZO MILIONI 25.

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan azindua Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 pamoja na Awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba na umwagiliaji katika Kiwanda cha Sukari Mtibwa kwenye muendelezo wa ziara yake ya Kikazi, Mvomero Mkoani Morogoro Agosti, 03 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na Wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa mara baada ya kuzindua Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 pamoja na Awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba ya Kiwanda hicho, Mvomero Mkoani Morogoro Agosti, 03 2024.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here