Home KITAIFA WAZIRI MKUU KUFUNGUA MAONESHO YA NANENANE

WAZIRI MKUU KUFUNGUA MAONESHO YA NANENANE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 01, 2024 anafungua maonesho ya Kimataifa ya Wakulima ya Nanenane ambayo kitaifa yanafanyika Jijini Dodoma, kwenye viwanja vya Nanenane Nzuguni.

Kauli mbiu ya Maonesho hayo ni Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here