Home KIMATAIFA RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU BAINA YA KOREA NA...

RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU BAINA YA KOREA NA AFRIKA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Viongozi mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Jukwaa la Miundombinu baina ya Korea na Afrika. Mkutano huo ulifanyika Westin Josun Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea Juni, 5 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Jukwaa la Miundombinu baina ya Korea na Afrika ambao umefanyika Westin Josun Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea Juni,5 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali wa Tanzania na Jamhuri ya Korea ambao walihudhuria Mkutano wa Jukwaa la Miundombinu baina ya Korea na Afrika, Westin Josun Jijini Seoul, Juni, 2024

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here