Home MICHEZO QWIHAYA MGENI RASMI FAINALI YA RAMADHANI CUP 2024.

QWIHAYA MGENI RASMI FAINALI YA RAMADHANI CUP 2024.

Na Mwandishi wetu, Mwanza

MJUMBE wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa CCM, Leonard Qwihaya alikuwa Mgeni Rasmi katika Fainali ya Ramadhani cup iliyo hitimishwa Aprili,7 2024 katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kirumba jijini Mwanza

Fainali hiyo ilikutanisha timu mbili ambazo ni Godon Fc Vs ambapo timu hiyo imeweza kuibuka na ushindi wa goli tatu kwa sifuri huku Timu ya Godon Fc ni bingwa wa Ramadhani cup mwaka 2024.

Pia ameongozana na Viongozi Mbalimbali wakiwemo Madiwani wa Kata jirani pamoja na Katibu wa Uvccm Mkoa Joshua Ramadhani na Qwihaya alitumia fursa hiyo kuwataka vijana kumuunga Mkono Rais Dk.Samia Suluhu Hassani Kwa Kazi nzuri anazozifanya

Qwihaya ameongoza Maandamano ya amani kutoka Ofisi za Ccm Kata ya Kirumba kuelekea uwanja wa Shule ya Msingi Kirumba

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here